Mikate ya Sinia ya Unga wa Mahindi

Mikate ya Sinia ya Unga wa Mahindi

preparation-75x75

MUDA

Saa 2:15

difficulty-75x75

UGUMU

easy
portions-75x75

KUTOSHA

8 persons

Whisk

INGREDIENTS

MANDA

  • 3/4 Kikombe Unga wa ngano
  • 3/4 Kikombe Unga wa mahindi
  • 3/4 Kikombe Maji
  • Kijiko kdg 3/4 Chumvi
  • 1/2 paketi Hamira Saf-Instant 11g
  • Kijiko kkb 1 Sukari
  • Kijiko kkb 1 Majarini

 

KUKAANGA

  • Mafuta ya kupikia

FEATURED PRODUCT

SAF-INSTANT-11g-RED

1

Weka maji ya vugu vugu ndani ya bakuli la kuchanganyia na changanyia humo hamira.

2

Weka unga wa ngano, unga wa mahindi, chumvi, sukari na siagi au majarini iliyolainishwa. Changanya manda mpaka yote itakapo kuwa inaugumu sawa

3

Kanda kwa dakika 5.

4

Unda manda iwe kwenye umbo la mviringo. Funika na acha itulie kwa muda wa dakika 20. Kunja manda kisha acha itulie kwa muda wa dakika 30

5

Baada ya manda kuumuka, kunja mara nne kisha iumbe ifanane kama soseji. Kisha gawa kwenye vipande 8 vinavyolingana

6

Viunde viwe na umbo la mviringo. Acha vitulie kwa muda wa dakika 10

7

Vibonyeze mpake viwe tambarare kama chapati zenye upana wa 12 cm, kisha viweke kwenye kitambaa cha jikoni

8

Funika na acha vitulie kwa muda wa dakika 30

9

Weka mafuta kidogo kwenye kikaangio. Ukitumia moto wa wastani, funika kwa dakika 4, huku ukivigeuza kila baada ya dakika moja

No Comments

Sorry, the comment form is closed at this time.